Skip to main content
Skip to main content

Shule ya wanafunzi wenye ulemavu ya Kabarnet yapewa msaada

  • | Citizen TV
    189 views
    Duration: 1:27
    Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya Baringo, Julius Kiragu, akiandamana na maafisa wengine wa polisi, walitoa msaada wa vyakula na bidhaa mbalimbali kwa Shule ya Kabarnet ya wanafunzi wenye ulemavu wa macho na kusikia.