Skip to main content
Skip to main content

IEBC yaonya kuhusu idadi ndogo ya wapiga kura Nyeri

  • | KTN News
    324 views
    Duration: 3:55
    #ktnnews #KTNNewsDigital #ktnkenya #KTNTV #KTNHome #KenyaNews 🔴 LIVE: US Election Day 2024: KTN News Kenya | Breaking News & Entertainment Hub Welcome to the 24/7 KTN Kenya News Channel on YouTube – Zoezi la usajili wa wapiga kura nchini likiingia wiki ya pili, taarifa zinaonyesha mwitikio mdogo katika maeneo mengi. Kaunti ya Nyeri imeripoti kusajili watu 150 pekee kufikia Ijumaa iliyopita, licha ya lengo kuwa zaidi ya 400,000. Baadhi ya vijana wamesema ukosefu wa hamasa na elimu ya uraia ndio unachangia idadi ndogo ya wanaojitokeza, jambo linalozua wasiwasi kuhusu ushiriki wa vijana katika uchaguzi ujao. #KTNKenya #NewsChannel #BreakingNews #KenyaNews #ktnprime #livestream #livenews SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: https://www.youtube.com/ktnnewskenya Follow us on Twitter: https://twitter.com/KTNNewsKe Like us on Facebook: https://www.facebook.com/KTNNewsKenya KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond. Watch KTN Live http://www.ktnnews.com/live Watch KTN News http://www.ktnnews.com Follow us on http://www.twitter.com/ktnnews Like us on http://www.facebook.com/ktnnews