Skip to main content
Skip to main content

Aliyekuwa gavana wa Bungoma Wycliffe Wangamati ahojiwa na tume ya EACC

  • | Citizen TV
    634 views
    Duration: 1:07
    Ni pigo kwa Gavana wa Bomet Hillary Barchok baada ya Mahakama Kuu kukataa ombi lake la kuzuia tume ya kupambana na ufisadi EACC kumkamata , na kumfungulia mashtaka kuhusu ufisadi. Haya yanajiri huku aliyekuwa Gavana wa Bungoma Wycliffe Wangamati na washukiwa wengine 10 wakiendelea kuhojiwa katika makao makuu ya EACC kuhusu madai ya ufisadi Katika kaunti hiyo.