Skip to main content
Skip to main content

Arsenal yatwaa ubingwa wa EPL baada ya miaka zaidi ya 20

  • | Citizen TV
    17,981 views
    Duration: 3:21
    Baada ya zaidi ya miongo miwili, Arsenal hatimaye imeshinda ubingwa wa Ligi Kuu nchini Uingereza. Hii ni baada ya wapinzani wao wakuu Manchester City kutoka sare ya mabao 1-1 dhidi ya AFC Bournemouth usiku wa Jumanne. Ushindi huo umeibua shamrashamra na sherehe miongoni mwa mashabiki kote duniani, kama anavyotuarifu Luqman Mahmoud.