- 787 viewsDuration: 2:02Askofu wa Kanisa la Anglikana David Kodia sasa anasema visa vya vurugu zinazoshuhudiwa maeneo ya Nyanza vinatia wasiwasi. Askofu Kodia akiwataka viongozi wa siasa kutoka eneo hilo kufanya kikao mara moja ili kuzima vurugu za mara kwa mara kwenye mikutano ya kisiasa eneo hilo. Akizungumza mapema leo, Kodia alisema kuwa vurugu hizo huenda zikasababisha atiati kwa wakazi na kuvuruga uchaguzi mkuu ujao. Laura Otieno anatuarifu zaidi.