- 17,008 viewsDuration: 1:50Mahakama ya Ubelgiji imeamua kwamba mwanadiplomasia wa zamani anaweza kufikishwa mahakamani kuhusiana na mauaji ya Patrice Lumumba, Waziri Mkuu wa kwanza wa Congo. Lumumba, aliuawa kikatili mwaka 1961 na mwili wake kuyeyushwa kwa tindikali. Sasa, mshukiwa wa mwisho aliyesalia anaweza kushtakiwa. Je, haki itapatikana kwa familia ya Lumumba? @frankmavura anaelezea #bbcswahili #lumumba #Congo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw