- 734 viewsDuration: 3:27Kamati ya elimu ya bunge la kitaifa inapoendeleza vikao kukusanya maoni kuhusu miswada kadhaa ya elimu ya mwaka 2026,wazazi na wadau wa elimu kaunti ya Uasin Gishu wamependekeza kurejeshwa kwa adhabu kali shuleni,ili kukabili utundu wa wanafunzi.