- 3,590 viewsDuration: 3:02Je Afrika na dunia kwa jumla imejiandaaje kukabiliana na kupanda kwa bei ya mafuta? - Watafiti wanaonya kuwa endapo bei ya mafuta itaendelea kubaki juu ya dola 100$ kwa pipa, bei ya vyakula na bidhaa muhimu zitapanda na kusabisha kuzorota kwa uchumi wa dunia. @Phillys Mwatee na tathmini hii - - - #iran #israel🇮🇱 #donaldtrump #foryou #bbcswahiliSubscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw