Skip to main content
Skip to main content

Biashara ya ngozi nchini

  • | Citizen TV
    733 views
    Duration: 2:13
    Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda Juma Mukhwana ametangaza kuanzishwa kwa maabara ya kisasa ya upimaji wa ngozi katika Hifadhi ya Viwanda ya Ngozi ya Kenanie, akiashiria juhudi mpya za serikali za kuharakisha mikakati ya kuimarisha biashara ya ngozi nchini.