- 733 viewsDuration: 2:13Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda Juma Mukhwana ametangaza kuanzishwa kwa maabara ya kisasa ya upimaji wa ngozi katika Hifadhi ya Viwanda ya Ngozi ya Kenanie, akiashiria juhudi mpya za serikali za kuharakisha mikakati ya kuimarisha biashara ya ngozi nchini.