Skip to main content
Skip to main content

Bilionea wa Tanzania azungumza baada ya kununua shirika la habari la NMG

  • | BBC Swahili
    11,710 views
    Duration: 7:00
    Mfanyabiashara Mtanzania Rostam Azizi amesema kwamba ukaribu wake na viongozi wa Afrika Mashariki hautadunisha uhuru wa habari katika shirika la habari la Nation Media Group (NMG). Hii ni baada ya bilionea huyo kununua shirika hilo na kuwa mwanahisa wake mkuu. #RostamAzizi #NMG #bbcswahili #bbcswahilileo #NationMediaGroup #Kenya #tanzania #Uganda Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw