Skip to main content
Skip to main content

Bunge yakusanya maoni kuhusu miswada sita ya elimu

  • | Citizen TV
    556 views
    Duration: 1:51
    Kamati ya Bunge ya Elimu imekusanya maoni ya wananchi katika Kilifi na Tana River kuhusu miswada sita ya elimu iliyo mbele ya Bunge, ukiwemo mswada wa ufadhili wa elimu ya juu.