Skip to main content
Skip to main content

EACC yaichunguza KFIC kuhusu madai ya ufisadi wa Ksh. 20M

  • | Citizen TV
    453 views
    Duration: 1:00
    Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imeanzisha uchunguzi dhidi ya Shirika la Viwanda vya Samaki nchini (KFIC). Maafisa wa shirika hilo wanadaiwa kufuja Sh20 milioni zilizotengwa kwa vifaa vya uvuvi.