Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Kirinyaga azindua zahanati mpya karumandi

  • | Citizen TV
    32 views
    Wakazi wa wadi ya Karumandi katika Kaunti ya Kirinyaga sasa wanaweza kupata huduma za afya kwa urahisi zaidi kufuatia kufunguliwa kwa zahanati mpya ya Kavote.