Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa zamani wa Bungoma Wycliffe Wangamati aachiliwa kwa dhamana

  • | Citizen TV
    1,316 views
    Duration: 2:03
    Aliyekuwa gavana wa Bungoma, Wycliffe Wangamati, pamoja na jamaa zake tisa na wakurugenzi wa kampuni kadhaa za ujenzi wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya ulaghai wa zabuni za zaidi ya shilingi milioni 271.