- 878 viewsDuration: 2:30Viongozi wa makanisa Eneo Mbunge la Mbeere North wameanzisha kampeni ya amani na mshikamano kwa lengo la kusitisha migawanyiko ya kisiasa iliyoshuhudiwa wakati wa uchaguzi mdogo wa hivi majuzi, huku eneo hilo likijiandaa kwa shughuli za kisiasa zinazotarajiwa kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027.