- 163 viewsDuration: 3:50China imeiandikisha katika vitabu vya historia kwa kuwatanzua takriban raia wake milioni 100 kutoka lindi la umaskini uliokithiri katika muda wa miaka minane pekee. Mafanikio haya yametajwa na Benki ya Dunia kuwa ya kipekee na ambayo hayajawahi kushuhudiwa kwa kiwango hicho na kwa kasi Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive