14 Aug 2026 1:03 pm | Citizen TV 14,612 views Duration: 54s Jamaa mmoja mwenye umri wa miaka 41 aadhibiwa kifo kwa kudungwa sindano ya sumu huko Alabama nchini Marekani baada ya kupatikana na hatia ya kumteka nyara, kumbaka mara kadhaa na kumuua mtoto wa miaka mitano.