Skip to main content
Skip to main content

Jinsi CIA na MI6 walivyopindua serikali ya Iran 1953

  • | BBC Swahili
    37,430 views
    Duration: 2:22
    Jinsi ujasusi wa Marekani na Uingereza ulivyopindua serikali ya Iran mwaka wa 1953 Mapinduzi haya yaliathiri siasa za Iran na mtazamo wake dhidi ya Magharibi kwa miongo kadhaa. Beldeen Waliaula anaelezea #bbcswahili #marekani #Historia Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw