- 3,511 viewsDuration: 2:22Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka amekashifu uvamizi wa mkutano wa Gavana wa Siaya James Orengo hapo jana katika Kaunti ya Migori, akisema Rais William Ruto ameshindwa kukabiliana na wahuni. Aidha, wanasiasa wa upinzani waliozungumza maeneo tofauti nchini, pia wameendelea kuikashifu serikali kwa kutotimiza ahadi zake kwa Wakenya. Emmanuel Too anaaarifu.