2 Sep 2026 10:34 am | Citizen TV 413 views Duration: 58s Kamati ya Bunge la Kitaifa ya Uwekezaji wa Umma, Utawala na Elimu nchini imezuru Taasisi ya Mafunzo ya Kiufundi ya Bungoma North, katika eneo bunge la Tongaren, kutathmini matumizi ya fedha za umma katika taasisi hiyo.