Skip to main content
Skip to main content

Kampuni ya ulinzi South B yalilia haki baada ya ofisi kubomolewa

  • | Citizen TV
    1,871 views
    Duration: 1:59
    Kampuni moja ya ulinzi wa kibinafsi mtaani South B, Nairobi, inalilia haki baada ya ofisi zake kuvamiwa na kubomolewa, katika kisa kinachodaiwa kuwa cha unyakuzi wa ardhi.