1 Sep 2026 10:36 am | Citizen TV 398 views Duration: 1:42 Serikali ya Kaunti ya Murang’a imeingia katika makubaliano na shirika la Food for Education, katika mpango unaolenga kuhakikisha wanafunzi wa chekechea na wale wa shule za msingi wanapata chakula shuleni.