Skip to main content
Skip to main content

Kwa nini Iran na Marekani hawaaminiani?

  • | BBC Swahili
    11,540 views
    Duration: 3:01
    Kwa nini Iran imesema wazi msimamo wake kuwa haina nia ya kufanya mazungumzo na Marekani hata baada ya Donald Trump kudai kuwa kumekuwa na mazungumzo mazuri kati ya Washington na Tehran? Tofauti hii inaonyesha kitu kimoja, Kutoaminiana. - - #bbcswahili #iran #israel #marekani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw