Skip to main content
Skip to main content

Kwale Yapokea Vifaa vya Matibabu vya KSh 25M

  • | Citizen TV
    24 views
    Serikali ya kaunti ya kwale imepokezwa vifaa vya matibabu vya thamani ya shilingi milioni 25 kutoka kwa shirika la LVCT Health kupitia mpango wa USAID Stawisha Pwani .