- 13,328 viewsDuration: 1:50Kutoka kuwa ndoto ya Santiago Bernabéu hadi kuwa mjadala mkubwa Hispania. Kuelekea El Clasico dhidi ya Barcelona Mei 10, 2026, jina la Kylian Mbappé limegeuka gumzo baada ya sehemu ya mashabiki wa Real Madrid kuanza kumgeuka. Lakini je, kweli Mbappé ndiye tatizo la Madrid? Au presha ya kutotwaa mataji imewafanya mashabiki kutafuta mtu wa kumbebesha lawama? Kwanini hasa nyota huyo wa Ufaransa anazidi kuchukiwa ndani ya Bernabéu? Omary Mkambala anaelezea kwa kina 🎥: Bosha Nyanje #bbcswahili #kylianmbappe #realmadrid Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw