- 600 viewsDuration: 1:42Mgomo wa maafisa tabibu kaunti ya Taita Taveta ambao umedumu kwa siku 42 hatimaye umesitishwa baada ya mazungumzo baina ya serikali na maafisa hao kupata mwafaka. Wakizungumza huko Mwatate maafisa hao tabibu wanasema masuala tata ambayo yalichochea mgomo huo likiwemo suala la kupandishwa vyeo pamoja na kucheleweshwa kwa mishahara yametatuliwa.