8 Sep 2026 10:14 am | Citizen TV 853 views Duration: 2:43 Kiwango cha maambukizi ya HIV katika Kaunti ya Narok kimeongezeka kwa asilimia 1.5. Waziri Chepkwony amesema idadi kubwa ya vijana wanaendelea kuambukizwa virusi vya HIV katika kaunti hiyo.