- 454 viewsDuration: 2:06Vijana kutoka kaunti 10 za eneo la Mlima Kenya wamewataka viongozi kuwashirikisha zaidi katika maamuzi kuhusu mabadiliko ya tabianchi. Wakizungumza katika mkutano wa vijana wa masuala ya tabianchi katika kaunti ya Nyeri, wamesema maoni yao yanapaswa kuzingatiwa katika kutunga sera za kukabiliana na athari za tabianchi.