Skip to main content
Skip to main content

Makombora Iran, Israel

  • | BBC Swahili
    16,756 views
    Duration: 27s
    Watu watatu wamejeruhiwa baada ya bomu kurushwa karibu nao huko Tel Aviv, hii ni kwa mujibu wa polisi wa Israel Makombora ya Iran yameua watu 12 nchini Israel tangu vita vilipoanza, siku 15 zilizopita, kwa mujibu wa shirika la habari la Associated Press. Tazama athari zilizotokea. #bbcswahili #foryou #fyp Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw