- 16,947 viewsDuration: 1:52Huku idadi ya watu wanaofuga wanyama wa nyumbani ikiongezeka nchini Kenya, mtazamo kuhusu nafasi yao katika familia nao unabadilika kwa kasi. Sasa, wanyama hawa hawachukuliwi tena kama walinzi au kwa matumizi ya kawaida pekee, bali kama sehemu ya familia. Katika mtaa wa Karen, jijini Nairobi, kuna eneo maalum linaloonyesha mabadiliko hayo, ambako wamiliki wanawapa wanyama wao heshima ya mwisho wanapofariki. Mwanahabari wetu @mariammjahid alitembelea makaburi hayo na kutuandalia taarifa ifuatayo. #bbcswahili #wanyama#foryou #kenyantiktok🇰🇪 #tanzaniantiktok🇹🇿 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw