Skip to main content
Skip to main content

Mbunge wa Nyeri Town Duncan Mathenge aitaka NCIC kuwakomesha wanasiasa wachochezi

  • | Citizen TV
    460 views
    Duration: 1:25
    Mbunge wa Nyeri Town Duncan Mathenge amewataka Wakenya kuwakataa viongozi wanaotumia kauli za uchochezi na zinazolenga kuwagawa wananchi, akisema matamshi hayo yanatishia umoja na amani ya taifa. Mathenge ameitaka Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano NCIC, kuwachukulia hatua kali wanasiasa wachochezi