Skip to main content
Skip to main content

Mfahamu kiongozi wa kidini anayesaidia kuiongoza Iran baada ya kifo cha Khamenei.

  • | BBC Swahili
    15,902 views
    Duration: 3:40
    Baraza la utambuzi lilimchagua Alireza Aarafi, mjumbe wa wanasheria wa Baraza la Walinzi, kuwa mjumbe wa "wanasheria" wa Baraza la Muda la Uongozi kuongoza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Lakini je Alireza Aarafi ni nani? Faidha Ngaga na taarifa hii: Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw