Skip to main content
Skip to main content

Mfanyabiashara wa Meru ashinda shilingi milioni moja

  • | Citizen TV
    1,231 views
    Duration: 56s
    Emmanuel Gitumo kutoka Kaunti ya Meru ndiye mshindi wa shilingi milioni moja katika kampeni ya Shabiki InaGive. Mfanyabiashara huyo mdogo aliibuka mshindi wa Wiki ya nne ya kampeni hiyo. Emmanuel aliibuka mshindi baada ya kupata multiplier ya juu zaidi katika mchezo wa Crash kwenye Shabiki.com. Anasema fedha hizo zitamsaidia kuendeleza masomo yake na kujijengea nyumba nzuri.