Skip to main content
Skip to main content

Mkandarasi kuendelea na ujenzi wa bwawa la Thwake baada ya miaka miwili

  • | Citizen TV
    3,813 views
    Duration: 1:14
    Ujenzi wa bwawa la Thwake uliokuwa umekwama kwa miaka miwili kutokana na ukosefu wa fedha utaanza tena baada ya serikali kupata shilingi Bilioni 10.6 zilizokuwa zimesalia kutoka kwa Benki ya maendeleo ya Bara Afrika.