Skip to main content
Skip to main content

Mohamed Maalim Mohamud aanza kampeni za ugavana Mandera

  • | Citizen TV
    1,672 views
    Duration: 1:02
    Mgombea wa ugavana wa Mandera, Mohamed Maalim Mohamud ameanzisha ziara kwa wakazi katika maeneo mbalimbali ya Kaunti ya Mandera, huku akizidisha juhudi za kutafuta uungwaji mkono kuelekea uchaguzi wa 2027.