Skip to main content
Skip to main content

Mshukiwa wa mauaji ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Nairobi akamatwa Kikuyu

  • | Citizen TV
    2,396 views
    Duration: 1:11
    Mshukiwa wa mauaji ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo kikuu cha Nairobi bewa la kikuyu, amekamatwa baada ya kudaiwa kumchoma kisu na kumuua mwanafunzi mwenzake kutokana na mzozo wa matumizi ya choo.