Skip to main content
Skip to main content

Museveni asitisha mpango wa kuagiza mafuta kupitia Kenya

  • | Citizen TV
    20,373 views
    Duration: 3:27
    Mpango wa uagizaji mafuta wa serikali kwa serikali umeibuka tena, mara hii nchini Uganda, kufuatia ufichuzi kuhusu mikataba tata inayodaiwa kuwagharimu walipa kodi wa Uganda mamilioni ya fedha. Rais wa Uganda Yoweri Museveni amefichua kuwa serikali yake ilisimamisha mpango wa kununua mafuta na bidhaa zake kupitia Kenya, baada ya seneta mmoja wa Kenya kumuonya kuhusu kuhusishwa kwa madalali katika mpango huo. Brenda Wanga anatufahamisha zaidi.