25 Aug 2026 1:38 pm | Citizen TV 148 views Duration: 1:06 Mwakilishi wa kike katika kaunti ya Nyamira Jerusha Momanyi ameomba ushirikiano kati ya jamii na asasi za usalama katika kaunti hiyo, ili kukabiliana na ongezeko la visa vya ubakaji, ulawiti na mauaji ya watoto.