- 521 viewsDuration: 3:09Watu waanaoishi na ulemavu, kina mama pamoja na vijana katika kaunti ya samburu wamehimizwa kujitokeza na kusaka nyadhifa za uongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao. Wametakiwa kupigania nyadhifa hizo ili kufanikisha mageuzi ya uongozi.