Skip to main content
Skip to main content

Nyumba 9 zabomolewa kwenye mzozo wa ardhi eneo la Bobasi, Kisii

  • | Citizen TV
    3,845 views
    Duration: 2:47
    Familia moja kule Bobasi kaunti ya Kisii imelazimika kuvumilia kijibaridi kwa zaidi ya mwezi moja sasa baada ya makazi yao kubomolewa kwenye mzozo wa ardhi. nyumba zao tisa zimebomolewa na watu wanaodai kumiliki shamba hilo la ekari nane.