Skip to main content
Skip to main content

Obado na wenzake wapatikana na hatia ya kumuua Sharon Otieno

  • | Citizen TV
    20,741 views
    Duration: 3:55
    Aliyekuwa Gavana wa Migori Zachary Okoth Obado, msaidizi wake Michael Oyamo na aliyekuwa karani wa Kaunti ya Migori Caspal Obiero wamepatikana na hatia ya kumuua mwanafunzi wa chuo kikuu Sharon Otieno mwaka wa 2018. Akitoa uamuzi wake, Jaji wa Mahakama Kuu Cecilia Githua alisema upande wa mashtaka umethibitisha bila shaka kwamba watatu hao walishirikiana kupanga na kutekeleza mauaji hayo ya kikatili.