Skip to main content
Skip to main content

ODM yataka kushiriki nusu ya serikali baada ya uchaguzi wa 2027

  • | Citizen TV
    347 views
    Duration: 55s
    Katibu mkuu wa chama cha ODM Catherine Omanyo amesisitiza kuwa hawataruhusu chama cha ODM kumezwa na vyama vingine hata baada ya kuundwa kwa serikali ya muungano, wakitaka mgao wa nusu bin nusu, serikalini