2 Sep 2026 7:46 pm | Citizen TV 6,581 views Duration: 1:02 Maafisa wa polisi katika Kaunti ya Kericho wameanzisha uchunguzi wa kutegua kitendawili cha mauaji tata ya mwalimu Martina Chepkemoi Ruto, aliyeripotiwa kutoweka wiki moja iliyopita.