- 11,526 viewsDuration: 2:48Rais William Ruto amesema yuko tayari kukabiliana na wapinzani wake kwenye debe mwaka ujao, akisema muungano wa ODM na UDA utapata ushindi wa mapema. Akizungumza katika Kaunti ya Kisumu, alikoendelea na ziara yake ya Nyanza, Rais Ruto ametetea mradi wake wa nyumba za serikali, akisema utabadilisha sura ya Kenya.