Skip to main content
Skip to main content

Ruto apigiwa debe Dadaab kuelekea uchaguzi wa 2027

  • | Citizen TV
    983 views
    Duration: 1:08
    Baadhi ya viongozi wa chama cha UDA katika kaunti ya Garissa wameendeleza kampeni za kumpigia debe Rais William Ruto kwa awamu yake ya pili uongozini wakisema ameimarisha hali ya usalama na kuleta maendeleo eneo hilo.