Skip to main content
Skip to main content

Sayari ambayo huenda iliunda Dunia

  • | BBC Swahili
    25,273 views
    Duration: 1:30
    Wanasayansi wanaamini kuwa sayari isiyojulikana, yenye ukubwa unaokaribia wa Mars, iligongana na Dunia takribani miaka bilioni 4.5 iliyopita, na inawezekana mabaki yake yakawa sehemu ya Dunia ya sasa Phyllis Mwatee anaelezea #bbcswahili #sayansi #angayajuu Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw