Skip to main content
Skip to main content

Sifuna akanusha madai ya Ruto kuhusu ufadhili wa LINDA Mwananchi

  • | Citizen TV
    7,661 views
    Duration: 2:30
    Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna, mmoja wa vinara wa LINDA Mwananchi, amekanusha madai ya Rais William Ruto kwamba mrengo huo unafadhiliwa na Rais mstaafu Uhuru Kenyatta. Akizungumza na vijana wanaolenga kugombea viti katika uchaguzi ujao, Sifuna amemtaka Rais Ruto kutoa ushahidi wa madai hayo, huku akimshtumu kwa kuupaka tope upinzani na kusema hauna ajenda ya kuendeleza Kenya.