- 35,010 viewsDuration: 26sRais wa Marekani Donald Trump aliondolewa haraka na kupelekwa mahali salama kutoka kwenye hafla ya Waandishi wa habari wa Ikulu baada ya milio ya risasi kusikika katika eneo la tukio. Mamlaka za usalama zimethibitisha kuwa rais, mke wake na watu wote wanaolindwa wapo salama, baada ya milio ya risasi saba hadi nane kufyatuliwa. #bbcswahili #marekani #Washington Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw