- 16,289 viewsDuration: 30sDonald Trump amemkosoa vikali Papa Leo XIV kwenye mitandao ya kijamii baada ya kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki Duniani kulaani tishio la rais wa Marekani dhidi ya Iran. Katika chapisho refu kwenye mtandao wake wa kijamii wa Truth Social, rais huyo wa Marekani aliandika "Papa ni mbaya kwa Sera ya Kigeni". #bbcswahili #marekani #TrumpnapapaLeo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw