- 17,705 viewsDuration: 3:19Mamlaka ya usafiri wa ndege nchini inasema kuwa uchunguzi kuhusu kisa cha Ijumaa usiku ambapo ndege moja ilipoteza mkondo ilipokuwa ikitua katika uwanja wa ndege wa Wilson hapa jijini Nairobi. KCAA inasema kuwa mamlaka ya kuchunguza ajali za ndege imetwaa ndege hiyo kwa uchunguzi. Uchunguzi huo unajiri huku masuali yakiibuliwa kuhusu usalama wa barabara ya ndege kupaa na kutua katika uwanja huo.